Loading...

Mbio za Urais Marekani zinaonekana zimeshaisha Hillary Clinton anachukua nchi.

Bado mda mwingi Umebakia lakini huyu mama Hillary Clinton anaonekana ndiye Rais wa 45 wa Marekani and she deserves it na Democrate wako smart sana kuchagua Mgombea.


Donald Trump anaonekana anatapapa ile kazi yake ya TV show katika television zake za Fox naona anairudia anatapatapa leo kaamka anamsifia Sadam Husein kwa Kuua watu pia nimeona kwenye Ukurusa wa Twitter anasema eti Hilary Clinton anapanda Air Force kama nani? watu wengi walimjibu "Kama huna habari she is arleady 45th president of US."


Ninapenda Kampeni za Clinton siyo za Kuchafuana na Kibaguzi dhidi ya watu wa mataifa mengine au Dini nyingine she is a Master of game.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright CHACHANDU | Designed By AFROPIXELS MEDIA CO. LTD
Back To Top