Loading...

PICHA Zikionyesha Jinsi Raia wa Uturuki Walivyowachapa Wanajeshi Baada ya Kujaribu Kumpindua Rais wao Kipenzi


Waziri Mkuu wa Uturuki Binali Yildirim amesema wanajeshi 2,839 wakiwemo maafisa wa ngazi za juu, wamekamatwa baada ya jaribio la mapinduzi lililozimwa.
Miongoni mwa wanaoshikiliwa wamo majenerali wawilia wa jeshi, kwa mujibu wa vyombo vya habari vya nchi hiyo.

Waziri Mkuu huyo ameliita jaribio hilo la mapinduzi kama doa jeusi katika demokrasia, na kueleza kuwa raia 161 wameuwawa na wengine 1,440 wamejeruhiwa.
Raia wenye hasira wakiwadunda wanajeshi baada ya kuwadhibiti na kuzima jaribio lao la mapinduzi
    Mwanajeshi aliyedhibitiwa na raia akipigwa ngumi nzito ya shavuni na mmoja wa raia

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright CHACHANDU | Designed By AFROPIXELS MEDIA CO. LTD
Back To Top