Loading...

Wabunge wa Kambi ya Upinzani Watoka nje ya BUNGENI Wakiwa Wamevalia Mavazi Meusi na Mabango


BUNGENI: Wabunge wa Kambi ya Upinzani watoka nje leo wakiwa wamevalia mavazi meusi na mabango.

Wanaendeleza mgomo wao dhidi ya Naibu Spika jinsi anavyoendesha Bunge, wadai anakiuna kanuni za uendeshaji Bunge.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright CHACHANDU | Designed By AFROPIXELS MEDIA CO. LTD
Back To Top