Loading...

Wauguzi Manesi Waliosababisha Mama Mjamzito Akajifungulia Korido Watumbuliwa


SHINYANGA: Wauguzi wawili wa kituo cha Afya Lyabukande, wamesimamishwa kazi sababu ya uzembe uliosababisha mwanamke mjamzito kujifungulia kwenye korido.

Pia wamefunguliwa mashtaka kwa tuhuma za kukiuka maadili ya utumishi. ..

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright CHACHANDU | Designed By AFROPIXELS MEDIA CO. LTD
Back To Top