Loading...

Ongeza Nguvu za Kiume na Stamina Kitandani Kwa Kula Gongwe au Nyanya Chungu

Ngogwe au nyanya chungu ni mboga abayo inafahamika sana miongoni mwetu na baadhi yetu tumekuwa tukiitumia katika mlo.


Leo nimeona nikuletee hizi faida mbili za matumizi ya nyanya chungu.

Ngogwe au nyanya chungu husaidia sana katika kuongeza nguvu za uzazi kwa wanaume na inatibu pia wale wenye ugonjwa wa ngiri.

Mbali na sifa hiyo ya ngogwe / nyanya chungu pia husaidia kuongeza stamina na uwezo wa kuvumilia na kudumu kwenye tendo la ndoa kwa muda mrefu kati ya mume na mke wote endapo watakuwa wanatumia nyanya chungu katika utaratibu unaotakiwa kitaalam (mchemsho) .

Mbali na hayo, ngogwe ni dawa inayofanana na antibiotic, hivyo ni tunda zuri endapo likitumiwa mara kwa mara husaidia kuua vijidudu vya aina mbalimbali mwilini.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright CHACHANDU | Designed By AFROPIXELS MEDIA CO. LTD
Back To Top