Loading...

Msigwa akubali rasmi Magufuli ni Rais wa Jamhuri ya Muungano.!

Akijitetea kuhusu kupiga picha na Rais, amejitetea kuwa, alikuwa hana namna sababu ile ni nafasi adimu kupiga picha Na Rais/ Mfalme wa nchi...

Alipoulizwa kwa nini alisimama jirani Na Dr.Tulia Naibu spika, kwa nini asingesimama mbali....amesema Rais Mwenyewe ndio alimwita kuwa njoo usimame hapa....Na yeye sababu ameitwa Na Rais/Mfalme wa nchi alikuwa hana namna sababu Yule ndio Raisi wetu Na ile ni nafasi pekee.

Kuhusu ugomvi Na Magufuli.... amesema wao (UKAWA) hawana ugomvi Na Rais Magufuli.....ila wanaugomvi Na taasisi ya Urais.

My take.....
Siasa za Upinzani wa Tanzania ni zaidi ya Maigizo.!

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright CHACHANDU | Designed By AFROPIXELS MEDIA CO. LTD
Back To Top