Loading...

Mashamba ya Bangi yateketekezwa Tarime

Kamati ya Ulinzi na Usalama wilayani Tarime mkoani Mara imeendesha oparesheni kali na kufanikiwa kukamata mashamba makubwa ya zao la bangi ikiwemo bangi kavu ambayo tayari imeandaliwa kwa ajili ya kusafirishwa kwenda nchi jirani kwa ajili ya kuuzwa.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright CHACHANDU | Designed By AFROPIXELS MEDIA CO. LTD
Back To Top