Loading...

MADAM Rita Afunguka Kuhusu Ukimya wa Top 5 ya Washindi wa Bongo Star Search 2015

Najua nina watu wangu ambao watakuwa na maswali mengi juu ya kuhusu wale Top 5 wa Bongo Star Search 2015, sasa basi Ayo TV imemtafuta Jaji Madam Rita kufafanua zaidi.

‘Sisi tuna mkataba na uongozi wakina Babu Tale yaani Tip Top Connection wao kuna vitu wanafanya kwasasa maandalizi yao, kwahiyo kuna vitu vinapikwa kutoka kwa wasanii hao watano unajua watu wanahisi msanii akitoka Bongo Star Search anajulikana siku hiyo hiyo hapana kuna watu wanachukua miaka mitano au miaka mikumi ndio wanakuja kujulikana’- Madam Rita

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright CHACHANDU | Designed By AFROPIXELS MEDIA CO. LTD
Back To Top