Loading...

Je, Huu Ndio Mwisho wa Siasa za Maigizo Toka UKAWA?

Kama picha inavyoonyesha hapo juu, hii inaonyesha kuwa UKAWA wanachokiongea na wanachokitenda ni vitu viwili tofauti. Labda ndio maana hata Rais ameamua kupuuzilia mbali malalamiko yao.

Huyu huyu Msigwa ndio alikuwa wa Kwanza kupinga fedha za bunge kwenda kutengenezea madawati, lakini leo ndio amekuwa wa Kwanza kupiga picha mbele ya madawati yale Yale aliyoyapinga.

Lini UKAWA walitengua kauli yao kuhusu kutoshirikiana na Serikali ya CCM achilia mbali Naibu spika.?

Je kuna haja ya kuendelea kuwaamini UKAWA,?Au wabunge wamechoka kuburuzwa na Mbowe bila hoja za msingi.?

Hongera Msigwa kwa kuonyesha unafiki wa UKAWA.

1 comments:

Mi nishasema zilikuwa porojo tu ili kuonekana live tv.

Reply

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright CHACHANDU | Designed By AFROPIXELS MEDIA CO. LTD
Back To Top