Loading...

Hawa Ndio Watu Wanaochukiwa Zaidi Duniani


1. WATU WEUSI.
Hawa ndio wanaongoza kwa kuchukiwa na kubaguliwa zaidi duniani. Wanateswa na kunyanyaswa kila sehemu walipo. Ulaya, Marekani, Australia Arabuni, Mashariki ya Kati, Mashariki ya Mbali, na Marekani Kusini. Mbaya zaidi hata huku Africa bado tunaendelea kunyanyaswa na wageni wanaokuja kwa vigezo Vya uwekezaji. Hawa wanapora ardhi ya wanyonge 

2. WAISLAM
Hili ni kundi linalofuatia kwa kuchukiwa. Sababu kuu ikiwa ni
propaganda za kimagharibi na dhana ya ugaidi.
3. WAYAHUDI
Hawa wanachukiwa zaidi na nchi za Kiarabu na mataifa ya Kiislam. Sababu kubwa hasa zikiwa ni za kihistoria na mgogoro wa Mashariki ya Kati.
WAYAHUDI pia wameshawahi kuteswa na utawala wa Ki Nazi chini ya Adolf Hitler . Sababu kubwa ilikuwa ni mafanikio ya kiuchumi waliyokuwa nayo WAYAHUDI nchini Ujerumani na Ulaya kwa ujumla.
4. WAARABU
Licha wa kuwa si wote ni magaidi, Bali wamekuwa wakihukumiwa kwa asili yao. Nchi nyingi zinawaogopa na hazina imani nao

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright CHACHANDU | Designed By AFROPIXELS MEDIA CO. LTD
Back To Top