Loading...

BREAKING NEWS: NI MAJONZI MAZITO TENA...MBUNGE AUAWA KWA KUPIGWA RISASI

Kumekuwepo na taarifa ambazo zimesambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii kuwa aliyekuwa mbunge wa bunge la Afrika Mashariki kutoka Burundi, Hafsa Mossi amefariki dunia.

Taarifa kutoka Burundi zinaeleza kuwa serikali ya nchi hiyo tayari imethibitissha kutokea kwa kifo cha mbunge huyo wa EAC na ikielezwa kuwa Hafsa Mossi amekutwa na mauti baada ya kupigwa risasi katika eneo la Buja, Burundi.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright CHACHANDU | Designed By AFROPIXELS MEDIA CO. LTD
Back To Top