Loading...

Wabunge wa CCM walazimishwa kwa nguvu kuingia bungeni kumnusuru Tulia Ackson

Katika hali ya kushangaza na kusikitisha kabisa na yenye muendelezo wa ubabe na kuhadaa wananchi Wabunge wa CCM wanalamika kuwa wanalazimishwa kuja na kuingia Bungeni kwani bunge halina radha kwani Naibu Spika hafuati kanuni na taratibu, sasa wanatakiwa kujieleza kamati kuu ya CCM.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright CHACHANDU | Designed By AFROPIXELS MEDIA CO. LTD
Back To Top