Kuna matumaini kwa Haji Manara atarejea na kuona kama kawaida baada ya matibabu yake jijini New Delhi nchini India.
Manara amezungumza leo na kusema tayari ameanza vipimo na ana matumaini.
"Nimemaliza vpimo vya awali na kuonyesha matumaini ya...
Loading...
Jose Chameleone Afunguka Baada ya Kusemekana Ana Bifu na Diamond...

Msanii mkongwe wa muziki kutoka nchini Uganda, Jose Chameleone
amefunguka kwa kusema kuwa hana tatizo na hit maker wa wimbo ‘Kidogo’,
Diamond Platnumz.
Mitandao ya kijamii ilidai wawili hao hawakuwa sawa kwa muda mrefu
kutokana na madai ya kuwa...
Diamond na Mama Mtoto Wake Zari Hassan Wathibitisha Tetesi za Kuwa Wamenunua Nyumba ya Kifahari South Africa

Diamond na Zari wathibitisha uwepo wa Jumba kubwa la kifahari
walilonunua South Africa kwaajili ya mtoto wao Tiffah! !! Hakika hapa
wametisha mbayaa...unaambiwa hilo Jumba ni shidaaaa...
#ubuyuuu...
Kati ya Wanafunzi 7,805 waliofukuzwa UDOM, ni 382 tu ndio wenye sifa

Serikali imetangaza orodha ya wanafunzi ambao watarejea kuendelea na
masomo katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) baada ya uchambuzi kumalizika
na kupatikana idadi ya wanafunzi ambao wana sifa za kuendelea na
masomo.
Akizungumza na waandishi wa habari,...
Mapya Mtanzania Aliyewekwa Rehani Kwa Unga Pakistan.

NI mateso. Ndivyo unavyoweza kusema, hasa baada ya kundi la maharamia
linalojishughulisha na bishara ya ‘unga’ nchini Pakistan kuelezwa
kumtesa kijana Mtanzania, Adamu Akida.
Kutokana na hali hiyo, timu ya MTANZANIA ilipiga kambi jana katika eneo...
Rais Magufuli: 5,000/= Wanazoomba Trafiki Barabarani Hazina Shida

Amani iwe kwenu wakuu,nimemsikia Rais Magufuli akisema pesa wanazochukua
trafiki barabarani hazina shida ni za kung`arishia viatu.
Hii imekaaje kauli hii sio kwamba anahalalisha rushwa? nawaza tu!
Je, uelewa wa Rais kuhusu rushwa ni mdogo au alipitia...